Welcome to DivineFlaver

VIDEOS | SCHOLASRHIPS | FOREIGN | MIXTAPES

LIKE TO UPLOAD YOUR SONG? CLICK HERE!

                 

Harmonize – Ushamba

Posted by: || Categories: Africa, Music


 

Get this song from Harmonize titled Ushamba

The song Ushamba is an impressive song that will worth a place in your playlist.

Use the link below to stream and download Ushamba by Harmonize.

Lyrics for Ushamba by Harmonize

KondeboyWee
Huo ni ushambaa huo ni weeHuo ni ushambaa huo ni weeHuo ni ushambaa huo niEh huo ni ushambaa
Pesa ya kulipa gesti unayo eeehNyumbani familia inapiga miyayo eeehMmh yanafurahisha ufanyayoEeeh huo ni ushambaInaboa kudadadekidereva wa uber hataki kuova tekiEti kisa pesa haiongezekiEeh huo ni ushambaYupo kitandani kajilegeza eehMi nimeshapaka vya kutelezaEeh eti bebi leo simba wanachezaEeeh huo ni ushambaHusband materialKutwa unalike picha za makalioVya wenzako usijipe matamanioEeh huo ni ushambaAshura wa mbagalaHuna pakula pakulalaKomenti ndefu picha za kajalaHuo tunaita eeeh huo ni ushamba
Huo ni ushambaa huo niHuo ni ushambaa huo niHuo ni ushambaa huo niEeeeh huo ni ushambaa
Mmmh malejendi si wamerudisha vitaWanahofia eti jeshi anawapitaBila sababu wananikunjia nditaeeh huo ni ushambalimechoka acha nilikalagaze halina meno ilo simba zeeeLikila demu lazima litangazeHuo tunaita eeeh huo ni ushambaHivi dunia ndo ipo kikomo eehMaana hadi waganga wanapiga promoHadi insta eeh wana page za kujipigia domoEeeh huo ni ushambaAmepanga chumba huko vingungutiYupo mbezi kwa demu pesa hatafuti mmhVipi akikupiga kibutiEeeh huo ni ushambaAaah konda wa daladala umenipitisha bahati mbaya nililala unataka nilipe tena ni busaraEeeh huo ni ushamba
Huo ni ushambaa huo niHuo ni ushambaa huo niHuo ni ushambaa huo niEeeeh huo ni ushambaa
Kaja na vumbi uso umefubaaAnadai kapaka poda eehKaniomba nauli ya ubereeeh huo ni ushamba yule namuona kapanda bodaVitu vingine haviji na ubongo eehPunguzeni sifa wana sio mchongo eeh demu humjui unampakia mkongooEeeh huoni ushambaaYeye ndo kalewa kuliko woteAnaimba nakucheza ngoma zoteWakati wakulipa bili sina chochoteEeh huo ni ushambaaMeno yote nje anachekeleaAhsante bebi nimepokeaHasa mbona haujatuma na yakutoleaaEeeh huo ni ushambaaKumepambazuka alfajiri tupo club wana anasema subiriYani kisa yeye ndo mwenye usafiri aahEeeh huoni ushambaaTunaishi kwa nyumba ya kupangaMwenzetu unatuletea mugangaUnataka wote tuonekane wangaa huo tunaitaEeeh huo ni ushambaa
Huo ni ushambaa huo niHuo ni ushambaa huo niHuo ni ushambaa huo niEeeeh huo ni ushambaa.
Hehehe hasa kama kama tumekutana mchana unasema haujalahehehe asubuhi si ungeniomba mswaki wewee hehehe hahaha hahahahah
Huo ni ushambaa huo niHuo ni ushambaa huoniHuo ni ushambaa huo niHuo ni ushambaathey call me kondeboy no 1 jeshi


UPLOAD YOUR SONG HERE


 

Leave a comment

Enter Your Name (Optional)

Enter Comment Below




ABOUT US |  CONTACT US |  CONTENT REMOVAL(DMCA) | DISCLAIMER |  TERMS OF USE |  PRIVACY POLICY |  REQUEST SONG
Theme by DivineFlaver
Copyright © 2024 DivineFlaver.com All Rights Reserved