The song “Ushamba” is an impressive song that will worth a place in your playlist.
Use the link below to stream and download Ushamba by Harmonize.
Lyrics for Ushamba by Harmonize
Kondeboy Wee
Huo ni ushambaa huo ni wee Huo ni ushambaa huo ni wee Huo ni ushambaa huo ni Eh huo ni ushambaa
Pesa ya kulipa gesti unayo eeeh Nyumbani familia inapiga miyayo eeeh Mmh yanafurahisha ufanyayo Eeeh huo ni ushamba Inaboa kudadadeki dereva wa uber hataki kuova teki Eti kisa pesa haiongezeki Eeh huo ni ushamba Yupo kitandani kajilegeza eeh Mi nimeshapaka vya kuteleza Eeh eti bebi leo simba wanacheza Eeeh huo ni ushamba Husband material Kutwa unalike picha za makalio Vya wenzako usijipe matamanio Eeh huo ni ushamba Ashura wa mbagala Huna pakula pakulala Komenti ndefu picha za kajala Huo tunaita eeeh huo ni ushamba
Huo ni ushambaa huo ni Huo ni ushambaa huo ni Huo ni ushambaa huo ni Eeeeh huo ni ushambaa
Mmmh malejendi si wamerudisha vita Wanahofia eti jeshi anawapita Bila sababu wananikunjia ndita eeh huo ni ushamba limechoka acha nilikalagaze halina meno ilo simba zeee Likila demu lazima litangaze Huo tunaita eeeh huo ni ushamba Hivi dunia ndo ipo kikomo eeh Maana hadi waganga wanapiga promo Hadi insta eeh wana page za kujipigia domo Eeeh huo ni ushamba Amepanga chumba huko vingunguti Yupo mbezi kwa demu pesa hatafuti mmh Vipi akikupiga kibuti Eeeh huo ni ushamba Aaah konda wa daladala umenipitisha bahati mbaya nililala unataka nilipe tena ni busara Eeeh huo ni ushamba
Huo ni ushambaa huo ni Huo ni ushambaa huo ni Huo ni ushambaa huo ni Eeeeh huo ni ushambaa
Kaja na vumbi uso umefubaa Anadai kapaka poda eeh Kaniomba nauli ya uber eeeh huo ni ushamba yule namuona kapanda boda Vitu vingine haviji na ubongo eeh Punguzeni sifa wana sio mchongo eeh demu humjui unampakia mkongoo Eeeh huoni ushambaa Yeye ndo kalewa kuliko wote Anaimba nakucheza ngoma zote Wakati wakulipa bili sina chochote Eeh huo ni ushambaa Meno yote nje anachekelea Ahsante bebi nimepokea Hasa mbona haujatuma na yakutoleaa Eeeh huo ni ushambaa Kumepambazuka alfajiri tupo club wana anasema subiri Yani kisa yeye ndo mwenye usafiri aah Eeeh huoni ushambaa Tunaishi kwa nyumba ya kupanga Mwenzetu unatuletea muganga Unataka wote tuonekane wangaa huo tunaita Eeeh huo ni ushambaa
Huo ni ushambaa huo ni Huo ni ushambaa huo ni Huo ni ushambaa huo ni Eeeeh huo ni ushambaa.
Hehehe hasa kama kama tumekutana mchana unasema haujala hehehe asubuhi si ungeniomba mswaki wewee hehehe hahaha hahahahah
Huo ni ushambaa huo ni Huo ni ushambaa huoni Huo ni ushambaa huo ni Huo ni ushambaa they call me kondeboy no 1 jeshi